Ben Pol: Mipango yangu ya harusi haijakwama

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 13 September 2019.

Ben Pol, mwanamuziki wa Tanzania, 30, amesema kuwa harusi yake na Anerlisa Muigai, mfanyabiashara wa Kenya, inaendelea kwa ufanisi tofauti na kile ambacho watu wengi wanavyosema mtandaoni.

Ben Pol alisema kuwa wao wana mipango ya kuhakikisha kila kitu shwari, na kuomba watu wasiingilie katika suala la kupanga harusi.

Alisema kuwa kwa sasa anafanya miango ya kuweka kila kitu sawa, lakini ikiwa wanauliza ikiwa mipango ya harusi ingalipo, jibu ni: 'ndiyo.'

Ben Pol na Anerlisa walianza uhusiano wao mwishoni mwa 2018.

Ben Pol ni mwanamuziki wa R&B mwenye kipaji kikubwa sana, na anafahamika sana kwa vibao: Moyo Mashine na Muziki alichomshirikisha Darassa miongoni mwa vibao vingine vikali.

Harusi ya Ben Pol na Anerlisa inaendelea kwa ufanisi tofauti na kile ambacho watu wengi wanavyosema mtandaoni.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...