Uhuru na Ruto: Ndoa ya Kisiasa Ilikufa Kitambo, Wakili Ahmednasir Ameamini

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 13 September 2019.

Wakili Ahmednasir Abdullahi amedai kwamba ndoa ya kisiasa kati ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto ina mitazamo miwili.

Wakili huyo amesema kwamba ndoa hiyo tayari ilikuwa imefikia kikomo, lakini kisheria inapaswa kuwa hai.

Alisema hivi kwa ujumbe aliouchapisha Ijumaa, Septemba 13 kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Alidai kwamba ukweli ni kwamba ndoa hiyo tayari ilikuwa imefikia kikomo, lakini kisheria inapaswa kuwa hai.

Aliongeza kwamba ni bayana kwamba upendo uliokuwepo kati ya waili hawa haupo tena.

Alisema kwamba tatizo hili lilisabishwa na siasa za urithi.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...