Profesa Walingo atimuliwa kufuatia ufisadi chuoni Maasai Mara

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 12 September 2019.

Profesa Mary Walingo, Naibu Chansela wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara, amepewa likizo la lazima kufuatia ufichuzi wa ufisadi uliofanywa na Citizen TV ambapo alihusika katika ubadhirifu wa fedha chuoni humo.

Ufichuzi huo ulikuwa na maelezo ya kina kuhusu sakata ya ufisadi ambapo chuo kikuu kilipoteza KSh 190 milioni.

Profesa Walingo alitajwa kama mhusika mkuu katika sakata ya ufisadi huo, pamoja na afisa mkuu wa fedha Anaclet Okumu na dereva wa Profesa Walingo Abdi Noor Hassan.

Wenzake waliotajwa kwenye kashfa hiyo watahojiwa na makachero wanaochunguza kesi hiyo.

Ufichuzi huo ulikuwa na maelezo ya kina kuhusu sakata ya ufisadi ambapo chuo kikuu kilipoteza KSh 190 milioni.

Profesa Walingo alitajwa kama mhusika mkuu katika sakata ya ufisadi huo, pamoja na afisa mkuu wa fedha Anaclet Okumu na dereva wa Profesa Walingo Abdi Noor Hassan.

Wenzake waliotajwa kwenye kashfa hiyo watahojiwa na makachero wanaochunguza kesi hiyo.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...