Skip to main content

Sehemu ya Barabara Kuu ya Thika kufungwa eneo la Alsoaps mwishoni mwa juma

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 11 September 2019.

Sehemu ya Barabara Kuu ya Thika kufungwa eneo la Alsoaps mwishoni mwa juma ili kuwezesha utundikaji wa mihimili ya Daraja la juu la kuunganisha Makutano ya Outer Ring.

Barabara hiyo kuu itafungwa kati ya Jumamosi 14 na Jumapili 15, 2019, na sehemu ya eneo la Ruaraka itafungwa kati ya Jumamosi 21 na Jumapili 22, 2019.

Madereva wanaotumia Barabara Kuu ya Thika watakiwa kutumia leni za nje kwa kufuata maagizo ya waongozaji magari, na wenye magari wanashauriwa kutumia barabara mbadala kuepuka usumbufu.

Sehemu ya Barabara Kuu ya Thika imekuwa hautumiki tangu kufungwa kwa leni mbili ili kuruhusu ujenzi wa daraja la kuunganisha kuundwa barabara hiyo na Oute Ring kuendelea bila ya matatizo.

Ujenzi wa daraja hilo linatarajiwa kupunguza msongamano wa mara kwa mara ambao umekuwa ukishuhudiwa kati ya barabara hizo mbili.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →