Kundi la Vijana laandamana Kutaka Kuondolewa kwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Kisumu Oloo

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 10 September 2019.

Maandamano ya kundi la vijana waliokuwa na hamaki yaliyotokea Jumanne, Septemba 9 nje ya makao makuu ya bunge la kaunti ya Kisumu, wakimtaka spika Oloo aondolewe.

Maandamano hayo yalikuwa kipindi cha kufuatia mswada wa kumuondoa spika Oloo, ambaye anazongwa na tuhuma za ufisadi.

Spika Oloo na wenzake wanakabiliwa na tuhuma za ufisadi dhidi ya mamlaka ya maendeleo ya Lake Basin.

Awali Septemba 6, Mkurugenzi wa mashtaka ya Umma Noordin Hajji aliamuru kukamatwa na kushtakiwa kwa Oloo na wenzake 34 kwa ubadhirifu wa fedha kwenye ujenzi wa jumba la kibiashara.

Ubadhirifu huo ulikuwa kwa fedha zilizotengewa ujenzi wa jumba la biashara lililojengwa na mamlaka ya maendeleo kutoka KSh 2.5 bilioni hadi KSh 4.1 bilioni.

Maandamano hayo yalikuwa kipindi cha kufuatia mswada wa kumuondoa spika Oloo, ambaye anazongwa na tuhuma za ufisadi.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...