Skip to main content

Wafanyikazi 6 wa G4S wazuiliwa kuhusiana na wizi wa KSh 72M

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 6 September 2019.

Wafanyikazi 6 wa kampuni ya G4S wamezuiliwa kuhusiana na wizi wa KSh 72M uliofanyika Alhamisi, September 5, 2019, katika Kaunti ya Kiambu, Kenya.

Wafanyikazi hao wamefikishwa mbele ya mahakama ya Milimani na kushtakiwa na wizi wa pesa hizo.

Polisi kutoka Kiambu walisema masanduku hayo yalipatikana baada ya mkazi mmoja kuyaona na kufahamisha maafisa wa polisi.

Simu ya rununu pia ilipatikana katika eneo hilo.

Wafanyikazi wa G4S walikuwa wakipeleka fedha hizo kwenye mitambo ya ATM wakati ambapo majambazi waliojifanya maafisa wa polisi waliwafuata na kuponyoka nazo.

Polisi wangali wanachunguza kisa hicho.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →