Dennis Itumbi Wamezuiwa Kwa Kukosa Kutekeleza Wajibu Wake wa Kulea Baada ya Kumpeana Ujauzito

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 6 September 2019.

Msichana mmoja ambaye alijifungua mtoto msichana mwezi Juni mwaka huu, amemshtaki mwanablogu matata Dennis Itumbi kwa madai kuwa alimpachika mimba kisha akaingia mitini.

Alisema walikutana mwaka wa 2018 na penzi lao likashika moto, na baada ya hapo, Itumbi alikataa kukubali mimba ya binti huyo.

Msichana huyo anaitaka mahakama kumshurutisha Itumbi kuchukua jukumu la kulea ili mtoto wao apate malezi bora, na pia anataka nakala ya kitambulisho cha Itumbi ili aweze kumsajili mwana wao.

Alisema anataka pesa za matumizi ya kila mwezi, na kwa sasa anaomba msaada wa mahakama ili apate fedha za matumizi kutoka kwa mwanablogu huyo.

Itumbi ameshtakiwa kwa madai ya kukosa kutekeleza wajibu wake wa kulea baada ya kumpeana ujauzito na kutoroka.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...