Shilingi Milioni 72 Zilizotupwa Kwa Kukosa Kwenye ATM Zinapatikana Msituni Kiambu

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 6 September 2019.

Polisi wamepata masanduku yaliyokuwa na shilingi milioni 72 zilizoibiwa kama yametupwa kwenye msitu Kaunti ya Kiambu.

Wakati huo huo, simu ya rununu pia ilipatikana katika eneo ambapo masanduku hayo yalikuwa yametupwa.

Polisi Kaunti ya Kiambu walisema masanduku hayo yalipatikana baada ya mkazi mmoja kuyaona na kufahamisha maafisa wa polisi.

Wafanyikazi wa kampuni ya G4S walikuwa wakizipeleka kwenye ATM za mabenki jijini Nairobi wakati waliokuwa wamevalia sare za polisi walitokea na kuwazubaisha kabla ya kutoweka na fedha hizo zote.

Wakenya kwenye mitandao walitaja wizi huo kama 'sinema kama vindio'.

Polisi wangali wanachunguza kisa hicho.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...