Nakuru Police Seek Thieves Who Scammed M-Pesa Agent of KSh 22,000

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 5 September 2019.

Maafisa wa polisi mjini Nakuru wameanza kuchunguza visa vya utapeli dhidi ya maagenti wa MPesa baada ya mmoja wao kuibiwa KSh 22,000.

Alama ya kushindwa kwa mmoja wa wafanyikazi wa MPesa aliyepoteza kiasi hicho kwa kujifungua kwa mteja aliyemtapeli.

Alidai kwamba alikuwa amewasiliana na idara ya huduma kwa wateja ambao walimuarifu hela hizo zilikuwa hazijaingia katika akaunti yake.

Maafisa wa polisi wanadadisi picha kutoka kwa kamera ya CCTV ya mojawapo ya maduka katika eneo hilo ili kupata ukweli wa mambo.

Wanataka kujua ni mbinu gani aliyotumia mteja huyo kumtapeli mmoja wa wafanyikazi wa MPesa.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...