This archive report was first published on 2 September 2019.
Michael Iloduba Chukwuebuka, mchuuzi wa maji ya chupa wa miaka 23, ameamua kubadilisha dhana mbaya miongoni mwa vijana nchini Nigeria.
Chukwuebuka, ambaye anajulikana kwa kazi yake ya kuuza maji ya chupa na karatasi za plastiki, ameonyesha kuwa ni kijana jasiri na kusema kuna heshima katika kazi yake.
Alipata umri wa miaka 24, Chukwuebuka aliamua kujikimu maisha yake kwa kuuza maji ya chupa na karatasi za plastiki, ambayo sasa imemfanya kuwa maarufu kwa kuwa baadhi ya watu wanamfuata mtandaoni na wanapata mawili matatu kuhusiana na biashara hiyo.
Chukwuebuka anajivunia kazi yake na cha manufaa zaidi ni pesa anazopata mwisho wa siku baada ya kupita miongoni mwa magari kuchuuza.
Alipata umri wa miaka 24, Chukwuebuka aliamua kujikimu maisha yake kwa kuuza maji ya chupa na karatasi za plastiki, ambayo sasa imemfanya kuwa maarufu kwa kuwa baadhi ya watu wanamfuata mtandaoni na wanapata mawili matatu kuhusiana na biashara hiyo.