This archive report was first published on 31 August 2019.
Agosti 28, 2019, ilikuwa siku ya furaha kwa Sahilu, ajuza ambaye alikuwa hana makazi. Mkewe gavana wa Kogi, Rashida Yahaya Bello, alimnunulia nyumba yenye vyumba viwili, pamoja na msaada wa chakula na mavazi.
Aliahidi kuendelea kuwapa msaada wanaopitia hali ngumu katika maisha, hasa wanawake na watoto, kwa kuhakikisha wanapokea huduma bora za matibabu na kuimarisha hali zao za afya.
Wakati uo huo, alimshukuru mkewe gavana kwa ukarimu wake na kumuomba Mungu ailinde familia yake.
Ukarimu wa Rashida Bello ni wa kujulikana, kwani ameonesha kuwa anafaa wale ambao hawajiwezi katika jamii. Hatua yake ya kutunuku nyumba kwa Sahilu ni mfano wa ahadi ya serikali iliyo uongozini ya kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii.