Mama Ajuta Kumtoroka Mumewe na Kuolewa na Mganga

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 30 August 2019.

Patupu alikuwa amekuwa akiwa na wasiwasi baada ya kukataliwa na kuamriwa arejee kwa mganga aliyekuwa amemuoa.

Fununu za mtaani zinasema kwamba, mama huyo alimtoroka mumewe na kuolewa na mganga aliyekuwa amehamia eneo hilo.

Wakaazi wa eneo hilo walipigwa na butwa kumuona mama amerejea kwa mumewe wa zamani baada ya kusemekana kwamba alikuwa amefurushwa na mganga huyo.

Alipomuona alimfokea vikali na kukataa kumaribisha nyumbani akisema kwamba tayari aliipoteza nafasi yake.

Jamaa alinguruma, "Nilikulilia usiniache ukapuuza, sasa unarejea hapa kufanya nini?"

Alipomtaka msamaha, mama aliomba msamaha akielezea masikitiko yake.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...