Skip to main content

Mithika Linturi Alininyima Penzi Kitandani, Marianne Kitany Aibulia Mahakama

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 28 August 2019.

Seneta Mithika Linturi alikuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa na mke wake Marianne Kitany, kwa hivyo aliamua kuomba talaka.

Kitany alisema aligundua kuwa Linturi alikuwa na vipusa nje ya ndoa ambao walikuwa wakikata kiu yake ya mapenzi.

Alisema pia kuwa aligundua kuna akina dada ambao walikuwa wakitumia Linturi picha na vidio wakiwa uchi na hivyo akaamua watamatishe ndoa yao.

Kitany alisema alipewa miraa iliyokuwa imefungwa na kufanana na kiungo cha mwanamume wakati wa sherehe ya kuoana kwao.

Alisema Linturi alimwarifu kuwa hiyo ilikuwa saini ya ndoa yao.

Kitany alizungumza kwenye mahakama ya Milimani mbele ya jaji Peter Ngare na kuonyesha picha na vidio za kuonyesha kuwa wawili hao walikuwa wameona na kuishi kama mke na mume.

Alisema wakati wa sherehe ya kuzaliwa kwake, Linturi anaskika akimuimbia 'Happy Birthday' na kusema 'I love you'.

Be the first to react

Follow the next update

Build Nyakundi Report with us

Join the official channels for story updates, video drops, and alerts from the newsroom. Call 0710 280 973.

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →