This archive report was first published on 20 August 2019.
Alhamisi, kalameni mmoja wa Molo alishikwa na mshtuko wa moyo baada ya kuarifiwa kuwa mpenzi wake alikuwa amefanikiwa kupata viza na alipanga safari ya kwenda ng'ambo.
Penyenye zinaarifu kwamba, kalameni ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya upili eneo hilo alikuwa amejitolea kumlipia kipusa karo hadi chuo kikuu kando na kumlipia mahari na kujitayarisha kufunga harusi pindi mwanadada atakapokamilisha kusoma.
Alipofaulu kupata viza, mwanadada alijitayarisha na kuondoka kisiri huku akimuarifu rafiki yake wa karibu kumuelezea mpenzi pindi tu ndege ilivyopaa.
Alipofaulu kupata viza, mwanadada alijitayarisha na kuondoka kisiri huku akimuarifu rafiki yake wa karibu kumuelezea mpenzi pindi tu ndege ilivyopaa.
Source: Tuko News