Frank Lampard na Ole Gunnar Solskjaer Wamejumuishwa kwenye Orodha ya Makocha Wanaotarajiwa Kufutwa Kazi Msimu Huu

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 15 August 2019.

Msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza ulianza rasmi siku ya Ijumaa, Agosti 9, na kuna makocha wanaotarajiwa kufutwa kazi msimu huu.

Wataalamu wa soka wanaamini kuwa meneja wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, atapangishwa virago na waajiri wake kabla ya kumenyana na Watford.

Frank Lampard wa Chelsea ndiye kocha anayeweza kuponea kwenye tundu ya sindano licha ya kuandikisha matokeo mabovu katika mechi yake ya ufunguzi ugani Goodison Park.

Wataalamu hao wa soka wanaamini kuwa kocha wa Man United atapangishwa virago na waajiri wake kabla ya kumenyana na Hornets.

Wataalamu hao wa soka wanaamini kuwa kocha wa Man United atapangishwa virago na waajiri wake kabla ya kumenyana na Hornets.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...