This archive report was first published on 14 August 2019.
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati, na mkewe Diana Marua, wamejaliwa na mgeni baada ya kujifungua na mtoto wa kiume mchana wa siku ya Jumatano, Agosti 14.
Wanamuziki hao wamekuwa wakimkaribisha mwanao wa pili duniani, na kufichua jina la malaika huyo, Baby Majesty.
Wanakadhalika na mtoto huyo kufuatiliwa na wafuasi wake, pia tayari ameanza kutengeza pesa baada ya kuteuliwa kuwa balozi wa Hospitali ya RFH.
Wanandoa hao pia wana mtoto wa kike kwa jina, Heaven Bahati, na pia mtoto wao wa kupangisha Morgan, pamoja na mtoto mwingine wa Bahati, Mueni, ambaye alijaliwa naye kabla ya kumuoa Diana.
Wapenzi hao walijaliwa mtoto wao wa kwanza mwezi Februari, 14 mwaka jana katika Hospitali ya Karen.