Mshuto wa MCA Ulichangia Kwa Kukwamisha Vikao vya Bunge Homa Bay

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 9 August 2019.

Shughuli za bunge la Homa Bay zilisimama kwa muda baada ya mmoja wa MCA kusawazisha hewa kwa mshuto uliotikisa jumba zima.

Waheshimiwa hao walilazimika kuondoka jumbani ili kupunga hewa safi kwani mashuzi ya mmoja wao yalikuwa yenye harufu mbaya mno.

Uvundo huo ulikuwa mkali na kumlazimisha Spika Edwin Kakach kuingilia kati huku MCA wengine wakijaribu kutafuta mshukiwa.

Kitu kilichotokea kwenye bunge la Homa Bay baada ya mmoja wa MCA kusawazisha hewa kwa mshuto uliotikisa jumba zima.

Spika Edwin Kakach alihitaji kuahirisha vikao kwa dakika kadhaa ili kuwapa viongozi hao muda wa kupata hewa safi na jingo hilo pia kuwa na manthari safi ya kufanya kazi.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...