Kampuni ya Simenti ya East African Portland Yafuta Wafanyikazi 2000 Kazi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 8 August 2019.

August 8, 2019, kampuni ya simenti ya East African Portland ilikuwa ikipata hasara kubwa ya shilingi bilioni 1.26 katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Stephen Thei, alisema kuwa ushindani kwenye sekta ya simenti umekuwa mkali na hivyo kufanya kampuni hiyo kuwa na wakati mgumu.

Thei alisema, "Kwa sasa tunapata hasara ya takriban milioni nane kila siku. Kwa miaka mitatu, kampuni imepoteza nafasi yake kibiashara na hivyo kuathiri mauzo."

Kampuni ya East African Portland Cement ilisema kuwa itawafuta kazi wafanyikazi wake wote kutokana na hali ngumu ya kiuchumi.

Kampuni hiyo inaingia kwenye orodha ya kampuni ambazo zinazidi kuwafuta kazi wafanyikazi kutokana na hali ngumu ya kichumi.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...