Mchungaji James Ng'ang'a: Wanawake wanaovalia nguo za shepu ni 'mawakala wa shetani'

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 7 August 2019.

Video iliyopakuliwa mtandaoni na Jamal Gaddafi, na ambayo sasa inasambaa kwa kasi, inaonyesha mchungaji huyo akiwaonya wanawake dhidi ya kuvalia nguo za kubana na zilizoongezwa shepu wanapokuja kanisani.

Ng'ang'a, mchungaji wa Neno Evangelism, anasikika akiwaonya wanawake dhidi ya kuvalia nguo za kubana na zilizoongezwa shepu wanapokuja kanisani.

Alisema, 'Watu wamekosa madhabahu, dhabihu, wamekosa sheria….unaweza vaa vileunataka. Unaagalia kwa Facebook unaona wanawake wamejichorachora, unaenda unajichora.'

Ng'ang'a anasema wanawake wanaovalia nguo za shepu ni 'malaya wa kiroho' na 'mawakala washetani'. Vilevile, Ng'ang'a alisema yeye pia anasumbuliwa sana na wanawake wa aina hiyo na wanaovalia nguo za shepu.

Alisema, 'Hizi manyuma hivyo unaona wakonazo, si nyuma mwambie fungua nione…nguo zinashonwa hapo ndani na hio kitabaya…'

Ng'ang'a anadai wanawake wanaovalia nguo za kuchomoza makalio ni 'mawakala wa shetani'. Picha: Robin Njogu.

Aliwaita wanaovalia nguo za shepu kuwa 'malaya wa kiroho' na 'mawakala washetani'. Vilevile, Ng'ang'a alisema yeye pia anasumbuliwa sana na wanawake wa aina hiyo na wanaovalia nguo za shepu.

Alisema, 'Hizi manyuma hivyo unaona wakonazo, si nyuma mwambie fungua nione…nguo zinashonwa hapo ndani na hio kitabaya…'

Ng'ang'a anadai wanawake wanaovalia nguo za kuchomoza makalio ni 'mawakala wa shetani'. Picha: Robin Njogu.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...