Mama asimulia alivyo pona saratani ▷ Kenya News

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 6 August 2019.

Ugonjwa wa saratani umeibukia kuwa tishio kubwa humu nchini baada ya viongozi watatu wafariki hiyo maajuzi baada ya kuugua ugonjwa huo.

Wakati huo huo, kuna ujumbe wa kuunga mkono wale wanaougua saratani, kama vile familia ya Dorothy Mulei ambayo ilisimulia kwa TUKO.co.ke jinsi madaktari nchini India walikata tamaa ya kumuuguza jamaa wao huku wakisema kuwa alikuwa ameugua saratani ya damu kiwango cha kuwa hangepona.

"Disemba 8, figo yake ilidinda kufanya kazi huku mapafu nayo yakitolewa maji lita nane. Madaktari waliamini anafariki," Jeremiah alisema.

Jeremiah alisema kuwa alikata tamaa ya kumuuguza jamaa wao huku wakisema kuwa alikuwa ameugua saratani ya damu kiwango cha kuwa hangepona.

"Nina furaha sana kwani mimi ni mumewe mke ambaye alikuwa afariki lakini sasa yuko hai. Huwa namwambia kuwa hii ni nafasi nyingine katika maisha yake kwa sababu miezi michache alikuwa atuwache," alisema.

Jeremiah alisema kuwa alikata tamaa ya kumuuguza jamaa wao huku wakisema kuwa alikuwa ameugua saratani ya damu kiwango cha kuwa hangepona.

"Imewekwa katika akili za watu kuwa saratani ni tiketi ya kifo. Ni kweli saratani huua lakini unyanyapaa huwafanya wagonjwa kukata tamaa,"alisema Dorothy.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...