Madereva Wakesha Barabarani Kufuatia Msongamano Mkubwa wa Magari Gilgil

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 3 August 2019.

Madereva Wakesha Barabarani Kufuatia Msongamano Mkubwa wa Magari Gilgil

Maafisa wa trafiki walilazimisha madereva kukesha barabarani baada ya msongamano mkubwa wa magari katika eneo la Gilgil, Kenya. Msongamano huo ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ya malori karibu na kituo cha kupimia uzani ya magari makubwa mjini Gilgil.

Maafisa wa trafiki pia walikesha barabarani huku wakijaribu kuondoa msongamano huo. Mkuu wa polisi katika kaunti ndogo ya Gilgil, Emmanuel Opuru, alieleza kuwa msongamano huo ulichangaiwa na shule zikifungwa.

Opuru pia aliwalaumu madereva kwa sababu ya kutokuwa na subira na kusababisha msongamano huo ambao ungekuwa umetatuliwa kabla asubuhi ya Jumamosi, Agosti 3, asubuhi. Baadhi ya madereva pia waliamua kuendesha magari yao kwa upande mbaya wa barabara na wengine wao kutumia njia mbadala ambayo pia ilichangia katika hali hii kuwa mbaya zaidi.

Maafisa wa trafiki walilazimisha madereva kukesha barabarani baada ya msongamano mkubwa wa magari katika eneo la Gilgil, Kenya. Msongamano huo ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ya malori karibu na kituo cha kupimia uzani ya magari makubwa mjini Gilgil.

Maafisa wa trafiki pia walikesha barabarani huku wakijaribu kuondoa msongamano huo. Mkuu wa polisi katika kaunti ndogo ya Gilgil, Emmanuel Opuru, alieleza kuwa msongamano huo ulichangaiwa na shule zikifungwa.

Opuru pia aliwalaumu madereva kwa sababu ya kutokuwa na subira na kusababisha msongamano huo ambao ungekuwa umetatuliwa kabla asubuhi ya Jumamosi, Agosti 3, asubuhi. Baadhi ya madereva pia waliamua kuendesha magari yao kwa upande mbaya wa barabara na wengine wao kutumia njia mbadala ambayo pia ilichangia katika hali hii kuwa mbaya zaidi.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...