Familia ya Ken Okoth Imekubaliana na Thumbi Kuhusu DNA na Kuteketeza Mwili

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 2 August 2019.

Alhamisi Agosti 1, mwakilishi wa familia ya Mbunge wa Kibra Ken Okoth alikubaliana na familia ya Anne Muthoni Thumbi kuhusu DNA na kuteketeza mwili wa marehemu.

Thumbi alikwenda kortini na kufanikiwa kusimamisha mazishi ya Okoth baada ya kudai familia ya marehemu ilikuwa imekataa kumtambua mtoto wake kuwa mtoto wa mwenda zake.

Uchunguzi wa DNA utafanywa ili kubaini ukweli kuhusu madai ya Thumbi huku mwili wa marehemu Okoth utateketezwa Jumamosi Agosti 3.

Thumbi alijitokeza na kutaka yeye na mwanawe wa kiume kuhusishwa katika programu ya mazishi ya marehemu.

Ukubaliano huu ni matokeo ya makubaliano ya pili kati ya pande zote mbili.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...