Nyeri: Jombi atakiwa kuoa akome kula kwa marafiki ▷ Kenya News

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 1 August 2019.

Wakati wa kujifunza umri wa kuoa, rafiki yao alikuwa hajaonesha dalili ya kuoa wala kuchumbiana na mwanadada yeyote.

Marafiki zake walikuwa wamechoka kumlisha kwani alikuwa na mazoea ya kuwatembelea kila jioni wakati chakula kilikuwa kinatayarishwa kabla ya kurejea kwake kulala baada ya kula.

Walipomuarifu kuhusu mpango wao kalameni aliwaambia kuwa alikuwa hajashindwa kujisakia bibi.

"Mimi sijashindwa kutafuta mke. Kwani mna shida gani?" polo aliwafokea wenzake.

Walishikilia kwamba walikuwa na nia nzuri katika uamuzi wao kwani hawakufurahishwa na jinsi alivyokuwa akiishi maisha yake.

Walipofanya uchunguzi, walibaini mwenzao alikuwa mwoga na hangeweza kuwarushia wanadada mistari.

Source: Tuko.co.ke

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...