Skip to main content

Mwanamuziki Esther Wahome aomboleza kifo cha babake

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 29 July 2019.

Mwanamuziki Esther Wahome akiomboleza kifo cha babake, mzee William Wahome Gikonyo, aliyeaga dunia Jumamosi Julai 27, 2019, baada ya kuguswa na ugonjwa wa saratani.

Esther alisema ni huzuni mwingi kumpoteza mzazi, lakini Mungu alikuwa na sababu ya kumchukua.

Aliaga dunia baada ya kuugua kutokana na ugonjwa wa saratani kwa muda wa mwaka mmoja.

Esther alifichua kuwa babake ndiye aliyemfunza kuomba na hata kumsaidia katika kukuza talanta yake ya uimbaji.

Wasanii kadhaa wameomboleza kifo cha babake Esther na kutaka asife moyo wakati huu wa majonzi.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →