Gavana wa Bomet Joyce Laboso Ameaga Dunia

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 29 July 2019.

Gavana wa Bomet Joyce Laboso ameaga dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu, Jumatatu Julai 28, 2019.

Laboso alipokea matibabu katika hospitali ya Nairobi ambapo aliripotiwa kuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi kwa majuma wawili.

Alirejea humu nchini Julai 14, 2019, kutoka India ambapo alikuwa akipokea matibabu.

Taarifa za kifo chake zinajiri saa chache baada ya serikali ya kaunti ya Bomet kutoa taarifa kuwa gavana huyo alikuwa anaendelea kupata nafuu.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...