Skip to main content

Mwanamke wa Tunduimuni Alichukizwa na Kumuuza Mbuzi wa Mkewe

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 26 July 2019.

Kituo cha habari Tuko.co.ke liliripoti kuwa mwanamke wa Tunduimuni alijikuta mashakani baada ya mkewe kufunganya virago na kurejea kwao baada ya mumewe kumuuza mbuzi wake.

Penyenye zinaarifu kwamba mwanamke huyo alichukizwa na kuapa kutorejea katika ndoa hiyo na kushi na mume ambaye alisema hana bidii ya kutafuta mali.

Alipokuwa ameenda kuhudhuria mafunzo ya ukulima kwa muda wa siku tatu, mama huyo alipigwa na butwa kupata mbuzi wake hawapo.

Alikusanya kila kitu alichokuwa amenunua chumbani mwao na kurejea kwa wazazi wake.

Alisema kuwa ana bidii kama ya mchwa, lakini mumewe amezongwa na ulevi kazi ni kubugia tu.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →