Gavana Nyong'o na Dadake Wakamatwa Kwa Kukosa Kufika Kwenye Kesi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 25 July 2019.

Profesa Anyang Nyong'o, Gavana wa Kisumu, na dadake Risper Nyogoy wamejipata taabani baada ya kesi ya urithi inayowakabili.

Wawili hao wamejipata taabani kutokana na kesi ya urithi inayowakabili huku wakidaiwa kupuuza uamuzi wa mahakama.

Wakipatikana na hatia, wawili hao huenda wakafungwa kifungo cha mwezi mzima gerezani.

Wawili hao walikuwa wametakiwa na mahakama kulipa shilingi 400,000 kila mmoja kwa kukosa kufika kwenye kesi yao.

Uamuzi huo ulitolewa na jaji Thripsisa Cherere, ambaye alisema wawili hao walikuwa wameonyesha wanaidharau mahakama sana.

Wakati wa kesi hiyo, jaji huyo alikuwa amewataka wawili hao kutoa hesabu kuhusu mali yaliyokuwa yanamilikiwa na baba yao.

Wakati wa kesi hiyo, jaji huyo alikuwa amewataka wawili hao kutoa hesabu kuhusu mali yaliyokuwa yanamilikiwa na baba yao.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...