Kukamatwa kwa Waziri wa Fedha Henry Rotich: Taarifa ya Uzito

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 23 July 2019.

Kukamatwa kwa Waziri wa Fedha Henry Rotich

Waziri wa Fedha Henry Rotich alikamatwa kwa tuhuma za sakata ya kupotea kwa pesa katika miradi ya ujenzi wa mabwawa ya Kimwarer na Arror, kufuatia taarifa iliyopewa uzito zaidi katika magazeti ya Jumanne, Julai 23.

Magazeti haya pia yanaangazia jinsi Rotich alitwaa katika nyadhifa hiyo na pia baadhi ya miradi yake inayomuorodhesha kama Waziri tofauti sana wa Fedha.

Waziri Rotich alidai kuwa marafiki zake wote wa karibu serikalini wamemtoroka baada ya sakata hiyo kutangazwa kwa umma.

Alidai kuwa baadhi ya marafiki wake wa karibu serikalini walianza kupuuza simu zake na pia arafa zake, na hivyo aling'amua kuwa alikuwa amewachwa kubeba msalaba wake.

Magazeti ya Kenya Jumanne, Julai 23: Henry Rotich adai marafiki zake wote serikalini wamemkimbia. Picha: UGC

Waziri wa Fedha Henry Rotich alikamatwa kwa tuhuma za sakata ya kupotea kwa pesa katika miradi ya ujenzi wa mabwawa ya Kimwarer na Arror, kufuatia taarifa iliyopewa uzito zaidi katika magazeti ya Jumanne, Julai 23.

Magazeti haya pia yanaangazia jinsi Rotich alitwaa katika nyadhifa hiyo na pia baadhi ya miradi yake inayomuorodhesha kama Waziri tofauti sana wa Fedha.

Waziri Rotich alidai kuwa marafiki zake wote wa karibu serikalini wamemtoroka baada ya sakata hiyo kutangazwa kwa umma.

Alidai kuwa baadhi ya marafiki wake wa karibu serikalini walianza kupuuza simu zake na pia arafa zake, na hivyo aling'amua kuwa alikuwa amewachwa kubeba msalaba wake.

Magazeti ya Kenya Jumanne, Julai 23: Henry Rotich adai marafiki zake wote serikalini wamemkimbia. Picha: UGC

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...