Atwoli Awaonya Wandani wa Ruto: Viongozi Walihamia Jubilee Watakuwa na Kibarua Kigumu 2022

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 21 July 2019.

Julai 20, 2019: Katibu mkuu wa Chama cha Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, amedai kuwa kuna mpango maalum wa kuwatema viongozi kutoka Mkoa wa Magharibi ambao walihamia chama cha Jubilee.

Atwoli alisema kuwa viongozi hawa walikuwa na nia ya kujinufaisha kifedha na kuwa na nia ya kujinufaisha kifedha.

Alisema, "Uchaguzi wa 2022 ukifika, wapiga kura wataruhusiwa kuchagua ni nani atakayewawakilisha kwa wadi ila kwa nafasi za wabunge, maseneta na magavana, tutawashauri ni nani mtakayemchagua," Atwoli alisema.

Atwoli aliongeza kuwa, "Ni aibu kubwa sana kwa wananchi kuwapigia kura viongozi ambao ni omba omba, wanaamka kila siku asubuhi kuenda nyumbani kwa wanasiasa wengine kuomba fedha, viongozi wa aina hii hawana nia njema kwa jamii," Atwoli aliongeza.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...