Skip to main content

Mwanamke wa Afrika Kusini Anapokea Nyumba Mpya Baada ya Mchungaji Kumfaa

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 20 July 2019.

Julai 17, 2019, mwanamke wa Afrika Kusini alipokea nyumba mpya baada ya mchungaji kumfaa kwa nyumba nzuri ili aondokane na shida ya miaka mingi akiishi katika banda mfano wa chaka la simba.

Ingawa nyumba hiyo ingali katika hatua za kujengwa, mwanamke huyo anatazamia kuanza kuishi katika mazingira bora kuliko alivyokuwa akiishi.

Ufadhili wa nyumba hiyo ulikuwa wa kibinafsi kutoka kwa Mchungaji Eric Malulekena na Wasamaria wema.

Malulekena amesifiwa na kupongezwa kwa kuwa mfano mzuri unaotakiwa kuigwa na wachungaji wengine.

Ujumbe wa Tweet uliorushwa mtandaoni na Tonny Myambo ulielezea habari hii na kuonyesha picha za nyumba mpya.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →