Zari Hassan Funga Ndoa ya Kimyakimya na Mchumba Wake wa Siri 'King Bae'

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 20 July 2019.

Zari Hassan, anayejulikana kama 'the Boss Lady', amefunga ndoa ya kimyakimya na mchumba wake wa siri 'King Bae' baada ya kufanya uhusiano wao kuwa wazi. Picha: Zari/Instagram

Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.

Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.

Tayari King Bae amemnunulia Zari kasri jijini Pretoria watakayoanza kukaa kuanzia Septemba baada ya kukamilika mchakato wa ununuzi.

Tayari King Bae amemnunulia Zari kasri jijini Pretoria watakayoanza kukaa kuanzia Septemba baada ya kukamilika mchakato wa ununuzi.

Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...