Mageuzi ya Katiba Yanukia Baada ya IEBC Kuidhinisha Sahihi za Punguza Mzigo

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 18 July 2019.

IEBC ilitangaza kuwa Punguza Mzigo waliweza kupata sahihi zaidi ya milioni moja kama inavyohitajika kisheria kwa wale wanaopanga kupendekeza mabadiliko ya kikatiba.

Alhamisi, Julai 18, 2019, IEBC ilisema kuwa Punguza Mzigo waliweza kupata sahihi zaidi ya milioni moja kama inavyohitajika kisheria kwa wale wanaopanga kupendekeza mabadiliko ya kikatiba.

Ekuru Aukot alipokuwa akiokota sahihi za mageuzi ya katiba. Picha: Ekuru Aukot

IEBC sasa imesema itatuma mswada huo kwenye mabunge ya kaunti ili kujadiliwa.

Mapendekezo ya Punguza Mzigo ni kupunguza wabunge kutoka 416 hadi 147, rais awe akihudumu kipindi kimoja cha miaka saba, nyadhifa za walioteuliwa katika mabunge sawa na nafasi ya naibu gavana kuondolewa.

READ ENGLISH VERSION

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...