Skip to main content

Wakenya wampapura seneta Aaron Cheruiyot baada ya kumshambulia Kanze Dena

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 18 July 2019.

Seneta wa Kericho Aaron Cheruiyot alimshambulia kwa maneno makali hatibu wa Ikulu Kanze Dena kwa kinachodaiwa kujihusisha katika maswala ya chama cha Jubilee.

Matamshi ya Cheruiyot yalifuatia taarifa ya Ikulu iliyomtetea Katibu Mkuu wa Chama cha Jubilee Raphael Tuju baada ya Naibu Rais na washirika wake wa Tangatanga kumkosoa Tuju kuhusiana na fungamano zake na upinzani.

Cheruiyot alimtuhumu Dena kwa upotovu wa ustadi na akamhumiza ajitenge na maswala ya chama hicho.

Wakenya wengi walio kwenye mtandao walihisi kuwa matamshi ya Seneta Aaron Cheruiyot hayakustahili na walikuwa wepesi katika kumjibu Seneta huyo pamoja na kundi la Tangatanga kwa jumla.

Wakenya wengi walio kwenye mtandao walihisi kuwa matamshi ya Seneta Aaron Cheruiyot hayakustahili na walikuwa wepesi katika kumjibu Seneta huyo pamoja na kundi la Tangatanga kwa jumla.

Wakenya wengi walio kwenye mtandao walihisi kuwa matamshi ya Seneta Aaron Cheruiyot hayakustahili na walikuwa wepesi katika kumjibu Seneta huyo pamoja na kundi la Tangatanga kwa jumla.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →