Walimu Wataka Vyumba Vya Kunyonyeshea Vijengwe Shuleni

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Shule za umma bado hazijazingatia sheria ya 2016 inayotaka serikali kujenga vituo vya kunyonyeshea watoto shuleni.

Wizara ya elimu inahitajiwa kuanzishaa vituo hivyo katika taasisi zote za umma, lakini shule za umma bado hazijazingatia sheria hiyo.

Walimu wa kike hasa walio na watoto wachanga hulazimika kwenda nyumbani mara kwa mara shule zinapofunguliwa ili kunyonyesha na hivyo kupoteza wakati na pesa.

“Tunataka kusaidia walimu wanawake walio na watoto wachanga na wanaohisi haja ya kwenda nyumbani kuwanyonyesha,” alisisitiza Benta Opande, mkurugenzi wa Muungano wa Walimu Wanawake Nchini (Kewota).

Next read

Toothless Dog: South Sudan Embassy Workers Expose Ministry of Foreign Affairs Over Failure to Protect Kenyan Workers From Diplomatic Exploitation

12 August 2026 · 5 min read

Five years without regular salaries, a lawsuit filed, a public outcry, and a change of ambassadors, yet South Sudan Embassy workers in...