Mwanamuziki Maarufu wa Afrika Kusini Johnny Clegg Amefariki Dunia

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 17 July 2019.

Alama ya muziki wa Afrika Kusini, Johnny Clegg, amefariki dunia Jumanne, Julai 16, 2018, baada ya kuugua kwa muda mrefu kutokana na ugonjwa wa saratani.

Alizaliwa mnamo Machi 26, 1953, Clegg alikuwa mwanamuziki maarufu wa Afrika Kusini ambaye alifanya muziki wa Kizulu na Kireno.

Alithibitisha habari za kifo chake, meneja wake Roddy Quin alisema marehemu alikata roho akiwa na familia yake nyumbani kwake.

"Ni huzuni mkubwa kwa familia na tungependa vyombo vya habari kuipatia familia muda wa kuomboleza mpendwa wao kwa faragha," Quin alisema.

Clegg atakumbukwa kwa juhudi zake za kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ikizingatiwa alikuwa mzaliwa wa Uingereza.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...