Skip to main content

Andrew Kibe: Mtangazaji mwenye utata afichua enzi zake wakati alijitolea kanisani

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 13 July 2019.

Mtangazaji Andrew Kibe amefichua enzi zake wakati alikuwa amejitolea kumtumikia Mungu kanisani kabla ya kuwa 'mwana mpotevu' baada ya kupata kazi na redio ya NRG.

Kibe alifichua habari hii kwenye ujumbe wake wa Jumapili, Mei 5, 2019, kwenye ukurasa wake wa Facebook.

Mtangazaji huyo alishangaza mashabiki zake baada ya kufichua taswira kuhusu maisha yake ya kale ambayo inakinzana kabisa na mienendo yake ya sasa.

Kibe alisema, "Miaka michache iliyopoita, wakati kama huu, ningekuwa kanisani nikiimba na kumwabudu Mungu. Mambo hubadilika huh. Watu bado huenda kanisani ama nilisalia pekee yangu?"

Wafanyikazi wenzake ambao walikuwa karibu naye enzi zile walishuhudia kwamba alikuwa mkristo halisi na alikuwa mstari wa mbele katika maswala ya kanisa.

Kibe na mtangazaji mwenza Kamene Goro waliondoka NRG na inakisiwa kwamba wawili hao walikuwa wanaelekea katika kituo cha Kiss 100.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →