Kamket Slams Ruto's Arrogance, Says He Must Show Humility to Win 2022 Presidential Election

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 11 July 2019.

Naibu Rais William Ruto atashinda urais iwapo atanyenyekea mbele ya Wakenya, amesema Mbunge wa Tiaty William Kamket.

Amesema Ruto amekuwa na kiburi sana jambo ambalo ni kinyume kwa mtu yeyote anayetafuta nafasi ya kuwa rais wa Kenya.

Alisema hili siku ya Jumatano, Julai 10, wakati akiwa na wafuasi wa chama chake KANU.

“Nguvu za kisiasa hazitachukuliwa kwa nguvu, kuwa mnyenyekevu mbele ya Wakenya. Wacha hizi sarakasi za eti mtu anataka kukuua. Kuna mtu anazunguka Kenya kana kwamba ameumwa na nyoka mbaya, tafadhali nyenyekea na uzungumze na Wakenya. Uongozi ni kunyenyekea,” alisema mbunge huyo.

Wakati huo huo, Kamket alitangaza kuwa seneta wa Baringo Gideon Moi anajitayarisha kuwania urais katika uchaguzi wa 2022.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...