Jamaa alazimika kukesha steji baada ya kuonyesha ujeuri kwa wanaboda

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 9 July 2019.

Julai 9, 2019 - Mtu mmoja alilazimika kukesha kando ya barabara baada ya wanaboda kususia kumbemba kwake kwa madai kwamba ana mazoea ya kutolipa nauli.

Wanaboda walisimulia kwamba jamaa huyo alikuwa na tabia ya kutolipa madeni, hata kwa kuwa alikuwa na mshahara mnono kila mwezi.

Alilazimika kupigwa na kibaridi usiku kucha baada ya kufunga kazi na kuelekea zake.

Asubuhi ilipowadia, mkewe aliwasili stejini na kumpata mumewe akiwa angali hapo asijue la kufanya.

Alisimuliwa na kisha mkewe aliwaeleza wahudumu kwamba atakuwa akiwalipa hela zao mwenyewe wakimfikisha mumewe nyumbani.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...