Mbunge wa Molo Kimani Kuria Aomba Msamaha Kwa Kuwasili Kwenye Mkutano Akiwa Mlevi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 6 July 2019.

Julai 5, 2019: Mbunge wa Molo Kimani Kuria amewaomba wakaazi wa eneo hilo msamaha baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kujadili utumizi wa pombe akiwa mlevi chakari.

Waakazi waliachwa vinywa wazi na wakaanza kumzomea mbunge huyo baada ya kubaini alikuwa mlevi kutokana na mienendo yake wakati akiwahutubia.

Aliomba msamaha kwa kuhudhuria hafla akiwa mlevi katika ujumbe aliouchapisha kwenye ukurasa wake wa Facebook.

Aliasisitiza kuwa alihitaji kusikiliza wenzake na kushirikiana na wafuasi wake ili kushughulikia masuala ya eneo lake.

Aliahidi kurejelea miradi ya maendeleo katika eneo bunge lake na kuhakikisha kwamba wenyeji wa Molo wananufaika.

Aliomba msamaha kwa kuhudhuria hafla akiwa mlevi na kuhakikisha kwamba hatua hiyo itachukuliwa kwa kujitolea.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...