Frank Lampard: Wabashiri Watabiri Kutimuliwa Mapema kwa Meneja wa Chelsea

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 5 July 2019.

Frank Lampard: Wabashiri Watabiri Kutimuliwa Mapema kwa Meneja wa Chelsea

Frank Lampard, meneja mpya wa Chelsea, anatarajiwa kukabiliwa na kipindi kigumu katika kilabu hicho cha Stamford Bridge kwa mujibu wa wabashiri.

Frank Lampard, meneja mpya wa Chelsea, amejitokeza kama mmojawapo wa watu wawili walio na uwezekano mkubwa wa kufukuzwa kazi punde baada ya michuano ya ligi kuu ya Uingereza kung'oa nanga mwezi ujao.

Chelsea wanabashiriwa kumaliza msimu ujao katika nafasi bora kuliko Manchester United, lakini Lampard pia ndiye anayeongoza katika orodha ya mameneja wenye uwezekano mkubwa wa kufutwa kabla ya Mei mwaka ujao.

Wabashiri wanaoripotiwa kama Sun wa Uingereza wanaandika kwamba Lampard, ambaye ni nguli wa Chelsea, mwenye umri wa miaka 41, na aliyetia saini mkataba wa miaka mitatu, amejitokeza kama mmojawapo wa watu wawili walio na uwezekano mkubwa wa kufukuzwa kazi punde baada ya michuano ya ligi kuu ya Uingereza kung'oa nanga mwezi ujao.

Chelsea wanabashiriwa kumaliza msimu ujao katika nafasi bora kuliko Manchester United, lakini Lampard pia ndiye anayeongoza katika orodha ya mameneja wenye uwezekano mkubwa wa kufutwa kabla ya Mei mwaka ujao.

Wabashiri wanaoripotiwa kama Sun wa Uingereza wanaandika kwamba Lampard, ambaye ni nguli wa Chelsea, mwenye umri wa miaka 41, na aliyetia saini mkataba wa miaka mitatu, amejitokeza kama mmojawapo wa watu wawili walio na uwezekano mkubwa wa kufukuzwa kazi punde baada ya michuano ya ligi kuu ya Uingereza kung'oa nanga mwezi ujao.

Chelsea wanabashiriwa kumaliza msimu ujao katika nafasi bora kuliko Manchester United, lakini Lampard pia ndiye anayeongoza katika orodha ya mameneja wenye uwezekano mkubwa wa kufutwa kabla ya Mei mwaka ujao.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...