This archive report was first published on 2 July 2019.
Oparesheni ya polisi ilifanywa jijini Nairobi na ilikuwa na lengo la kukamatwa watengenezaji pombe haramu.
Wakati wa oparesheni hiyo, makatoni kadhaa ya pombe kali iliyokuwa imepakiwa yalinaswa na maafisa wa polisi.
Waliokamatwa ni; Stephen Wambugu, David Chui, Salome Wanjiru, Wilikister Kemunto, John Mwangi, Daniel Maigwa, Zacharia Macharia na Peter Maina ingawa polisi wanamsaka mmiliki wa kiwanda hicho.
Uchunguzi zaidi unaendelea ili kuhakikisha wananchi hawapati madhara kutokana na bidhaa za aina hii.
Published on July 2, 2019 by Tuko.