8 Wakamatwa Katika Kioti Uchwara Cha Kutengeneza Pombe Haramu

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 2 July 2019.

Oparesheni ya polisi ilifanywa jijini Nairobi na ilikuwa na lengo la kukamatwa watengenezaji pombe haramu.

Wakati wa oparesheni hiyo, makatoni kadhaa ya pombe kali iliyokuwa imepakiwa yalinaswa na maafisa wa polisi.

Waliokamatwa ni; Stephen Wambugu, David Chui, Salome Wanjiru, Wilikister Kemunto, John Mwangi, Daniel Maigwa, Zacharia Macharia na Peter Maina ingawa polisi wanamsaka mmiliki wa kiwanda hicho.

Uchunguzi zaidi unaendelea ili kuhakikisha wananchi hawapati madhara kutokana na bidhaa za aina hii.

Published on July 2, 2019 by Tuko.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...